0711814255

STAR HERBALIST, TANGA

Jitibu kwa kutumia mimea tiba &

Saturday, February 18, 2017

Fahamu kuhusu Bawasili na Tiba zake

Image may contain: sky
Habari?
siku ya leo tunakwenda kuangazia macho kwenye Bawasili na tiba zake ni zipi, twende pamoja tukaondoe hili tatizo.
Je Bawasili ni ugonjwa gan? 
Ni ugonjwa unaotokana kwa kuathirika kwa mishipa ya damu kwa ndani na nje sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka na baadae husababisha kutokwa ni kinyama sehemu ya haja kubwa.

Ugonjwa huu kwa Lugha ya kitaalamu unaitwa HEMORRHOIDS .
Tatizo hili huwaathiri watu wote ila zaidi huwaathiri watu wazima kuliko watoto wadogo.
Kati ya umri wa miaka 30- 50 wapo kwenye hatari ya kupata ugonjwa huu, Kuna aina mbili za bawasili.
Bawasili ya ndani na Nje 
CHANZO CHA TATIZO
~chanzo halisi cha ugonjwa huu
hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo
huwa chanzo cha kupata ugonjwa wa
bawasiri ambayo ni ÷

.KUFANYA MAPENZI KINYUME NA
MAUMBILE
.KUHARISHA KWA MUDA MREFU
TATIZO LA KUTOPATA CHOO
.MATATIZO YA UMRI
.KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU
.UZITO KUPITA KIASI
.MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA
MUDA MREFU
 Je utajuaje kama una Bawasili?
Zifuatazo ni dalili zaitakazo kujulisha kwamba unasumbuliwa na Bawasili
  • Ngozi kuwasha katika tundu la haja kubwa
  • Kupata maumivu wakati wa kujisaidia
  • Kutokea kwa uvimbe katika eneo la haja kubwa 
Je hizo dalili zipo kwako? kama zipo kuna dawa ya miti shamba inaitwa faraja ni mkombozi wako, Dozi kamili ya dawa hii ni siku 14 ( kumi na nne tu!).
 
Hivyo unaweza ipata dawa hii kwa kuwasiliana nasi 
MBWAMBO HERBALIST.
Tiba mbadala za miti shamba asilia.
simu;+255 677-619 227.
Tanga -Tanzania.

 

1 comment:
Write comments
  1. Nataka kutoa ushuhuda kuhusu jinsi nilivyopona kutokana na Virusi vya Herpes. Miezi michache iliyopita nilikuwa na dalili kadhaa. Nilienda kumuona daktari na vipimo vingi vya damu vilifanywa kwangu, baadaye niliambiwa nilikuwa na Herpes. Daktari wangu aliniambia kwamba hakuna tiba ya Herpes. Nilijisikia vibaya, niliingia mtandaoni nikitafuta tiba inayowezekana ya Virusi vya Herpes, niliona chapisho la Dkt. Dawn, daktari wa mitishamba anayewasaidia watu kupona kutokana na Herpes. Saratani. VVU na mengineyo. Niliwasiliana naye na kumwambia jinsi ninavyohisi. Alisema dawa yake ya mitishamba inaweza kuniponya. Alinitumia dawa kupitia huduma ya utoaji wa UPS na nilipokea dawa siku 6 baada ya kuituma, nilichukua dawa kama alivyoniagiza. Kabla sijakamilisha dawa dalili zilisimama. Nilienda kwa daktari na kufanya kipimo kingine cha damu, cha kushangaza nilikuwa hasi. Sijapata dalili tena. Dkt. Dawn ni mzuri na unaweza
    kuwasiliana kwenye WhatsApp: +2349046229159
    Gmail ( dawnacuna314@gmail.com )

    Ikiwa unahitaji dawa za mitishamba kutibu magonjwa yoyote sugu au ya zinaa kama.
    HERPES.
    SARATANI.
    VVU/UKIMWI na zaidi

    ReplyDelete

Hey, we've just launched a new custom color Blogger template. You'll like it - https://t.co/quGl87I2PZ
Join Our Newsletter