0711814255

STAR HERBALIST, TANGA

Jitibu kwa kutumia mimea tiba &

Thursday, February 16, 2017

Asali & Mdalasin hutibu saratani(Cancer)


Habari mpya kwako
Hivi unajua kwamba Asali na Mdalasini ni tiba ya Saratani?  kama hujui naomba tega sikio au soma kwa makini habari hii.
Utafiti uliofanyika huko nchini japan na Australia umeonesha kuwa asali na mdalasini vinauwezo mkubwa katika tiba ya ugonjwa wa saratani. Watu ambao wamekuwa wakitumia asali na mdalasin huwa wanapata nafuu sana.
MATUMIZI(JINSI YA KUTUMIA)
Tumia kijiko kimoja cha mchanganyiko wa asali na mdalasini kutwa mara tatu(3) .
NAKUTAKIA MAFANIKIO MEMA NA UPONEVU IMARA

1 comment:
Write comments
  1. Nataka kutoa ushuhuda kuhusu jinsi nilivyopona kutokana na Virusi vya Herpes. Miezi michache iliyopita nilikuwa na dalili kadhaa. Nilienda kumuona daktari na vipimo vingi vya damu vilifanywa kwangu, baadaye niliambiwa nilikuwa na Herpes. Daktari wangu aliniambia kwamba hakuna tiba ya Herpes. Nilijisikia vibaya, niliingia mtandaoni nikitafuta tiba inayowezekana ya Virusi vya Herpes, niliona chapisho la Dkt. Dawn, daktari wa mitishamba anayewasaidia watu kupona kutokana na Herpes. Saratani. VVU na mengineyo. Niliwasiliana naye na kumwambia jinsi ninavyohisi. Alisema dawa yake ya mitishamba inaweza kuniponya. Alinitumia dawa kupitia huduma ya utoaji wa UPS na nilipokea dawa siku 6 baada ya kuituma, nilichukua dawa kama alivyoniagiza. Kabla sijakamilisha dawa dalili zilisimama. Nilienda kwa daktari na kufanya kipimo kingine cha damu, cha kushangaza nilikuwa hasi. Sijapata dalili tena. Dkt. Dawn ni mzuri na unaweza
    kuwasiliana kwenye WhatsApp: +2349046229159
    Gmail ( dawnacuna314@gmail.com )

    Ikiwa unahitaji dawa za mitishamba kutibu magonjwa yoyote sugu au ya zinaa kama.
    HERPES.
    SARATANI.
    VVU/UKIMWI na zaidi

    ReplyDelete

Hey, we've just launched a new custom color Blogger template. You'll like it - https://t.co/quGl87I2PZ
Join Our Newsletter